Subscribe:

Sample text

Sample Text

Wednesday, 4 October 2017

Mimi "Kuukulia Ukweli wa Mungu" niko katika mchakato wa kuukuli ukweli wa MUngu wa pekee wa kweli.
Mungu wa peke wa kweli akubariki kwa abaraka zote za kiroho katika ulimwengu wa Roho ndani ya Kristo Yesu {Efe. 1:3} kwa kunipokea kama nilivyo wala kuwakataza kwa namana yoyote ile wale ambao Mungu wa pekee wa kweli amewajalia Nuru ya kujiingiza katika mchakato huu ulio himizwa katika Barua ya kichungaji ya Mtakatifu Papa Yohani Paulo II aliyoipa jina "UT UNUM SINT" ikiwa na maana " ILI WAWE UMOJA"
Dira zetu za kuukulia ukweli wa Mungu kweli ni Neno la Mungu {Yn.8:31-32} na nyaraka za kichungaji za mababa { mapapa} wa kanisa kama tunavyo endelea kufundishwa na dira hizo mbili.
Mungu atuepushe na kila aina ya uzushi kutoka kwa yeyote awaye yule. MUNGU ATUBARIKI SOTE. Amina.

0 comments:

Post a Comment