Katika
1Kor.8:5-6, Paulo Mtume anatueleza swala la kuwepo miungu mingi na mabwana
wengi, kinyume cha ukweli kwamba kwetu sisi yupo Mungu mmoja na Bwana mmoja.
1Kor.8:5-6, Paulo Mtume anatueleza swala la kuwepo miungu mingi na mabwana
wengi, kinyume cha ukweli kwamba kwetu sisi yupo Mungu mmoja na Bwana mmoja.
Katika
2Kor.11:4 Mtume Paulo anawashangaa wao ambao wanawapokea wao ambao wanahubiri
mayesu wengine.
2Kor.11:4 Mtume Paulo anawashangaa wao ambao wanawapokea wao ambao wanahubiri
mayesu wengine.
Biblia
inatueleza habari za Mungu wa dunia hii (2Kor.4:3-4). Biblia inatueleza pia
habari za yule mwasi ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama cha
kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu akijionesha nafsi
yake kana kwamba yeye ndiye Mungu (2Thes.2:4).
inatueleza habari za Mungu wa dunia hii (2Kor.4:3-4). Biblia inatueleza pia
habari za yule mwasi ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama cha
kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu akijionesha nafsi
yake kana kwamba yeye ndiye Mungu (2Thes.2:4).
Kwamba
kuna akina Yesu wengine kunapelekea kuwapo akina Yesu wa aina mbili: kuna akina
Yesu ambao walilipata jina hilo kwa mujibu wa kawaida za kwanza za dunia
(Gal.4:3) ambazo huelezeka kwamba ni pepo watawala wa ulimwengu walioitumia
torati ya Musa kupanga na kuamuru kila jambo katika maisha ya kila siku(Gol.4:3).
kuna akina Yesu wengine kunapelekea kuwapo akina Yesu wa aina mbili: kuna akina
Yesu ambao walilipata jina hilo kwa mujibu wa kawaida za kwanza za dunia
(Gal.4:3) ambazo huelezeka kwamba ni pepo watawala wa ulimwengu walioitumia
torati ya Musa kupanga na kuamuru kila jambo katika maisha ya kila siku(Gol.4:3).
Kwa
upande mwingine, kuna Kristo Neno la Mungu aliyelipewa Jina hilo Yesu la
kibinadamu kwa taratibu ambazo chanzo chake ni hao pepo watawala wa ulimwengu
ili kukomesha hizo taratibu au sheria hizo zilizoanzishwa na pepo watawala wa
ulimwengu (Gal.4:4; Gal.5:4-5; Ebr.10:9-18).
upande mwingine, kuna Kristo Neno la Mungu aliyelipewa Jina hilo Yesu la
kibinadamu kwa taratibu ambazo chanzo chake ni hao pepo watawala wa ulimwengu
ili kukomesha hizo taratibu au sheria hizo zilizoanzishwa na pepo watawala wa
ulimwengu (Gal.4:4; Gal.5:4-5; Ebr.10:9-18).
Sasa
Jina hilo ambalo chanzo chake ni pepo watawala wa ulimwengu kamwe haliwezi
kutamalaki milele. Jina hilo ambalo chanzo chake ni pepo watawala wa ulimwengu
haliwezi kulipindua Jina NENO LA MUNGU (Ufu.19:13), Jina ambalo ni la milele
yote (Yn.1:1-5; 1Yoh.1:1-3;) ambalo ni Neno aliyefanyika Mwili (Yn.1:14).
Jina hilo ambalo chanzo chake ni pepo watawala wa ulimwengu kamwe haliwezi
kutamalaki milele. Jina hilo ambalo chanzo chake ni pepo watawala wa ulimwengu
haliwezi kulipindua Jina NENO LA MUNGU (Ufu.19:13), Jina ambalo ni la milele
yote (Yn.1:1-5; 1Yoh.1:1-3;) ambalo ni Neno aliyefanyika Mwili (Yn.1:14).
Mungu
Kweli aliyewatumia manabii kuonesha kughadhibishwa kwake na taratibu za kidini
(Zab.50; Isa.1;66; Yer.7; 18:12-17;44;
Amo.5:21-27), Mungu aliyebatilisha sheria na taratibu za pepo tawala wa ulimwengu,
kisha yeye huyo huyo akubaliane milele hicho kilichotokana na taratibu au
sheria hizo batili. HAIWEZEKANI. Munguhajikani mwenyewe (2Tim.2:13).
Kweli aliyewatumia manabii kuonesha kughadhibishwa kwake na taratibu za kidini
(Zab.50; Isa.1;66; Yer.7; 18:12-17;44;
Amo.5:21-27), Mungu aliyebatilisha sheria na taratibu za pepo tawala wa ulimwengu,
kisha yeye huyo huyo akubaliane milele hicho kilichotokana na taratibu au
sheria hizo batili. HAIWEZEKANI. Munguhajikani mwenyewe (2Tim.2:13).
Jina
“Yesu” limeisha pamoja na sheria zilizotumika kumpatia Jina hilo. Mkombozi na
mwokozi anaendelea kutukuzwa kwa Jina lake la milele “NENO LA MUNGU”.
“Yesu” limeisha pamoja na sheria zilizotumika kumpatia Jina hilo. Mkombozi na
mwokozi anaendelea kutukuzwa kwa Jina lake la milele “NENO LA MUNGU”.
Jina
“Yesu” limebatilishwa pamoja na sheria za mapepo. (Rum.10:4; Gal.5:4-5). Ndiyo
maana tunamsifu na kumtukuza “Kristo NENO LA MUNGU” sasa na milele bila aibu
yoyote, tukisema, “Atukuzwe Kristo Neno la Mungu” sasa hata milele. Amina
“Yesu” limebatilishwa pamoja na sheria za mapepo. (Rum.10:4; Gal.5:4-5). Ndiyo
maana tunamsifu na kumtukuza “Kristo NENO LA MUNGU” sasa na milele bila aibu
yoyote, tukisema, “Atukuzwe Kristo Neno la Mungu” sasa hata milele. Amina
LUKA
ROKI CHAMAYOMBE
ROKI CHAMAYOMBE
0714118428



0 comments:
Post a Comment