Thursday, 4 February 2021
KUENENDA KWA JIN$I YA KRISTO4
KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.4. Hivyo yesu anayesemekana kwamba ni wa ukoo wa daudi huyo ni yesu hewa asiyekuwepo wala hawezi kuwapo milele yesu huyu ni bandia mwanasesere au sanamu iliyotengenezwa na kawaida za kwanza za dunia (Gal.4:3);ambao ni watu wa kuasi wapingamizi wajiinuao nafsi zao juu ya kila kiitwacho mungu au kuabudiwa (2thes.2: 3-4) tena ambao nitabaka la chini duniani (2kor.4:3-4) kinyume cha kristo aliye wa tabaka la juu mbinguni (Yn.8:23).hawa ni mashetani ambao kutokana na uwingi wao wamejitambulisha kuwa "LEGION"mt.5:9 na(lk.8:30);na ambao ni wauaji na waongo.(yn8:44)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments:
Post a Comment