Thursday, 4 February 2021
KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO5
KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.5. Katika Yn.8:26 Kristo Kalitaja jina la Baba yake aliyempeleka, ambaye kwa kadiri ya Yn.14:17;15:26 na Yn16:13 Baba amemliki kwa jina hilo "KWELI" na kwa jina hilo amelitupa nje jina mungu katika 1Yn.4:6 na Ufu19:13. Na kwa ukweli huu usiopi ngika tunawqpata wale watatu waluoshuhudia mbinguni kuwa ni umoja timilifu wa nafsi jina kweli, Neno la kweli na roho wa kweli na Roho wa kweli. Neno "Kweli" jina (Noun),wala sifa (Adjective).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments:
Post a Comment