Subscribe:

Sample text

Sample Text

Tuesday, 17 December 2019

KWA NINI NIMEKATAA KUSALIWA NA RE--LEGIONI YEYOTE ILE !

KWA NINI NIMEKATAA KUSALIWA NA RE-LEGIONI YEYOTE ILE !
Ni miaka kadhaa imepita tangu niache kuhudhuria Ibada.
Hii inatokana na kuhamasika nilikohamasika na Barua "UT  Unum Sint" iliyo andikwa na Muhashamu sana Papa Yohani Paulo 11 mwaka 1995.
Ile hamasa ya kuwa waaminifu kwa Injili kuwa na fikra mpya. Kuwa na mtazamo mpya wa mambo.kuitafuta kweli na kushikamana nayo.Imenifikisha kwenye ukweli usiopingika kwamba "Re--ligion"  ni kushikamana na mapepo yali yaliyojitambulisha katika Mk5:9. Na kumwomba Mungu ni kuliomba lile sanamu la kiroho (1Yoh5:21)  lililojitengeneza lenyewe kwa utaratibu ulioelezwa katika 2Thes  2:3--4 kwamba yule mtu wa kuasi.mwana wa uharibifu.yule mpingamizi ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho "Mungu " ama kuabudiwa :hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la "Mungu"akijionesha nafsi yake kwamba yeye ndiye Mungu.Mungu ni huyo pepo mchafu .Huyo Mungu  pepo mchafu hawezi kuwa yule aliyefunuliwa na kristo Neno la kweli .kwamba ni "KWELI"
Na mwana wa Kweli hawezi kuwa yule yesu wa Torati ya Musa ambayo imemghadhibisha kweli hata akaifuta na kuiondoa isiwepo tena.Tendo ambalo limelelekea pepo .Mungu katika ujumla wao.kunyang'anywa nguvu zao :na kuanza imani mpya katika kristo Neno la Kweli Ebr.12:2.na kwa imani hii mpya ya kale yamepita .Tazama yamekuwa mapya(2Kor.17)
Kuendelea na mambo ya akina legion na sanamu "Mungu "ni ubatili mtupu .ndiyo maana kuna kutengwa na kristo Neno la kweli katika kuenenda kitorati.jambo ambalo nimelikataa tangu miaka kadhaa iliyopita.kamwe lisifanyike katika Umzoga wa kibanda changu  hiki.
Cha kufanyika badala ya maibada batili kwa mapepo ambayo utawala wao umefutwa rasmi pamoja na torati yao.ni kile ambacho Mhashamu Papa Fransis  amekisema katika kifungu cha 121 cha barua yake ya kichungaji kwamba "kile ulichokuja kutambua .kile kilichokusaidia kuishi na kikakupa matumaini.ndicho unachohitaji pia kukiwakilisha kwa wengine"
Kwa kuwa kibanda hiki muda wake wa kutumiwa na kristo utakuwa umepita .wewe utakuwa umebarikiwa sana ikiwa utashirikiana na wenzio kuniwakilisha kufanya tendo la kuwasilisha kwa kusanyiko litakalokuwapo.katika vipindi mbali mbali vya kusanyiko . Vile vile vilivyosemekana hapo juu kwa kutumia blogger yangu KUUKULIA UKWELI WA MUNGU

0 comments:

Post a Comment