Subscribe:

Sample text

Sample Text

Monday, 27 January 2020

KWA KUWA MBINGUNI MUNGU HAYUPO YUKO WAPI. SASA?

Hili ni swali nyeti linalotukabili kwa haki kabisa :kwamba baada ya Watatu  kushuhudia na kuthibitisha kwamba mbingu inakaliwa na Roho(Yn.4:24)Aliye Umoja wa Nafsi  Tatu : Kweli ,Neno la Kweli  na Uzima wa milele .Kwamba Neno "Mungu " halipo kabisa mbinguni.
Harakati tulizozichukua kumtafuta aitwae "Mungu"Zikatufikisha  kwa Mungu wa dunia hii aliye NDANI YA WASIOAMINI  isiwazukie Nuru ya Injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu(2kor,4:3--4)
Tukamkuta Tena "Mungu " katika 2Thes,2:3--4iliyotueleza habari za yule Mtu wa kuasi ,Mwana wa uharibifu .Yule mpingamizi ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa ,Hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu akijionesha  nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.
1kor,8:5 Hutueleza kwamba wako wengi hawa .Na torati  ya Musa Vitabu 5 vya Kwanza vya Biblia hutueleza habari ya kuniinua kwake kwamba yeye ndiye Mungu na kudai watu washikamane naye((kumb,30:20)Haya yote yametufikisha kwenye ukweli wa Yn,8:44
Ambapo Kristo aliwaambia waisrael"Ninyi ni wa baba yenu Ibilisi Na tamaa za baba yenu -------nk
Kumbe ndiyo maana Mungu hayumo  kati ya walio shuhudiwa mbinguni (1Yoh,5:8)Takasika na barikiwa  sana kwa Kristo Neno la Kweli(Yn.17:17, 19.  Efe,5:26--27). 
Luka Chamayombe Mzumbe Morogoro

0 comments:

Post a Comment