Thursday, 4 February 2021
MASKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI?B
MSKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI?B
Kwa kadiri ya Yn.10:16;11:52;14:20, nikusudio la muumba na mwokozi wetu kwamba watu wote tujumuiyishwe katika Yeye kanisa katoliki la nafsi zake hizo tatu.
Si hivyo tu, katika Yn.17:21-24, kristo neno la kweli anatuombea hivyo kwamba katika kanisa katoliki la nafsi Tatu aliko yeye na sisi tuwemo.
Aya Yn.5:24;8:31-32; 14:15; 15:7 zatuonyesha taratibu au njia ya kupita na hii ni kwa sababu kristo ndiye aliyekuja katika maji ya uzima wa milele ulio Damu ya ukombozi msamaha wa dhambi 1Yoh.5:6,9 iliyoondoa ghadhabu yote katika Mwumba hata akasema "Ebr.10:17"
Kwa neno lake ajitakasia watu Efe 5:26-27 na kujijengea maskani yake hapa duniani sawasawa na Efe 2:18-19; na hivyo,kujirejesha ufalme wake hapa duniani 2kor.6:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments:
Post a Comment