Subscribe:

Sample text

Sample Text

Sunday, 21 February 2021

Kumfahamu na kumjua kristo kabisa na kwa hakika.A.

Kutoka 24 : 1 Yohana 1:18 Mathayo11:27 Yohana 4:24 Matayo 13:55 Luka 11:27-28 Luka 8:19-20 Yohana 8:26 Yohana 17:4 Yohana 15:27 Ufunuo 19:12-13 Yohana 12:31 Yohana 14:30 Ufunuo 2:20

Thursday, 4 February 2021

NENO "KWELI" KAMA JINA WALA Si SFA .A

NENO "KWELI" KAMA JINA WALA SI SIFA. Katika SMS yetu "KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO1. tumeona jinsi Biblia yenyewe ilivyotuhakukishia ukweli wa neno "KWELI" kwamba ni jina wala si sifa. Lakini kwa kusimama katika " Webster's 1828 Dictionary" kamusi yaBiblia inatupatia neno "variety" lenye uwingi "varieties" na kulihusianisha na 1Tim.2:4 inayotuambia ile habari ya muumba anayetaka watu wote waokolewe na kupata kujua yaliyo kweli kwa tendo la kufikishwa kwenye ukweli kwamba Muumba na mkombozi wetu ni "kanisa katoliki la nafsi Kweli , Neno la kweli na Roho wa kweli" tuna kila haki ya kuamini kwamba yale mapenzi ya muumba na mkombozi wetu "1 Tim.2:4" yametimilika 💯% Ukweli huu unapelekea ule ukweli wa maombezi ya kristo Neno la kweli kwamba watu wake nao wawe ndani ya yenye aliye kanisa katoliki, ili nao wawe kama yeye .wenyewe alivyo Yn.17:21-24, baada ya kuwatakasa sawasawa na (Yn.17:17;19; efe.5:26-27).

MAANA YA NENO " CATHOLIC" NA IMANI YETU B

MAANA YA NENO "CATHOLIC" NA IMANI YETU B. Kwa maelezo hayo yote kuhusu neno "CATHOLIC" sisi ambao Biblia imetufikisha kwenye ukweli kwamba Muumba na Mkombozi wetu ni kusanyiko la zile nafsi Tatu za juu mbinguni ni katoliki kwamba zimekuwa "inluded" kama kundi maaluma ambalo wenyewe hawapitani kwa lolote lile, na kwamba halichangamani na chochote nje yao kama walivyo Kanisa (kusanyiko) la Nafsi kweli, Neno la kweli na Roho wa kweli ni katoliki kweli kweli. Ndiyo maana tuna kila sababu ya kuamini 💯% kwamba Muumba na Mkombozi wetu ni KANISA KATOLIKI LA NAFSI TATU: KWELl, NENO LA KWELI NA ROHO WA KWELI. Chochote kile nje ya ukweli huu kama ulivyo ni " EXCLUDED" kimetupwa nje pamoja na mkuu wao (Yn.12:31), mungu wa dunia hii (2 kor 4:3-4).

MAANA YA NENO "CATHOLIC" NA IMANI YETU A

MAANA YA NENO "CATHOLIC" NA IMANI YETU A. Kamusi ya kiingereza hututafsiria Neno Catholic kwa maelezo "including a wide variety of things" Kifungu cha maneno "a variety of" kimeelezwa kwa "a number of things of the same general class that are distrinct in character or quality" Neno "class" nalo limetafsiriwa kwa "a set or category having a property or feature in common others by kind or quality". " A set" imetafsiriwa kuwa "a group of people with common interests or occupation." Na "category" nayo imetafsiriwa kuwa "a class or division of people or things having particular chacteristics."

MASKANI YA MUUMBA NA MKOMBOZI WETU NI WAPI?C

MASKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI?C Pindi maskani halisi ya muumba na mwokozi wetu ni kanisa katoliki la nafsi kweli neno la kweli na Roho wa kweli lipo kanisa katoliki la Roma, ambalo ni la mungu wa dunia hii 2kor.4:3-4 Pindi la kwanza ni la muumba na mwokozi mwenyewe hili la pili ni la wale wa tabaka chini duniani Pindi la kwanza lina kwenda katika Roho na kweli sawasawa na uasilia na uhalisia wa muumba na mwokozi wenyewe, hawa walio tabaka la chini duniani huenenda kireligion na ibada zao za kimwili Hivyo kuna kanisa katoliki la juu mbinguni na kanisa katoliki la chini duniani.

MASKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI?B

MSKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI?B Kwa kadiri ya Yn.10:16;11:52;14:20, nikusudio la muumba na mwokozi wetu kwamba watu wote tujumuiyishwe katika Yeye kanisa katoliki la nafsi zake hizo tatu. Si hivyo tu, katika Yn.17:21-24, kristo neno la kweli anatuombea hivyo kwamba katika kanisa katoliki la nafsi Tatu aliko yeye na sisi tuwemo. Aya Yn.5:24;8:31-32; 14:15; 15:7 zatuonyesha taratibu au njia ya kupita na hii ni kwa sababu kristo ndiye aliyekuja katika maji ya uzima wa milele ulio Damu ya ukombozi msamaha wa dhambi 1Yoh.5:6,9 iliyoondoa ghadhabu yote katika Mwumba hata akasema "Ebr.10:17" Kwa neno lake ajitakasia watu Efe 5:26-27 na kujijengea maskani yake hapa duniani sawasawa na Efe 2:18-19; na hivyo,kujirejesha ufalme wake hapa duniani 2kor.6:

MASKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI? A

MASKANI YA MUUMBA NA MWOKOZI WETU NI WAPI?A Ujumla wa aya Yn.1:1-5;10:30;38; 14:9-10 na Yoh5:8 hutuhakikishia ukweli kwamba muumba na Mkombozi wetu ni mkusanyiko mmoja wa Nafsi Tatu ambao kila mmojawapo miongoni mwao hukaa katika ki mmojawapo miongoni mwao. Kwamba wao wenyewe ndio maskani yao wao wenyewe. 1Yoh.5:8 yaliita kusanyiko au jumuyiko lao wanamokaa wao wenyewe kuwa "mbiguni" kumbe mbinguni ni wao wenyewe katika kujumuiyika kwao. Efe.1:22-23 na kol.1:18 zauiita ule mkusanyiko "Hekali" au "kanisani," na kwa kule kujumuiyishwa kwao,wale nafsi Tatu ni "katoliki" Hivyo .muumba na Mkombozi wetu ni mbinguni aliye kanisa katoliki la nafsi kweli, neno la kweli na Roho wa kweli. Hili ndiyo kanisa halisi la juu mbinguni ambamo sote tunatakiwa tujumuiyishwe.

UTATA UNAOJITOKEZA

UTATA UNAOJITOKEZA KATIKA 1Tim.2:4. 1Tim.2:4 hutuambia kwamba mungu hutaka watu wote waokolewe na kupata kujua yaliyo kweli katika sms yetu "KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO 4"tumeona kwamba neno "mungu"ni la tabaka la chini, duniani, ambalo ni la mashetani. Katika SMS y yetu KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO 5 tumeona kwamba katika 1Yoh.4:6 na Ufu19:13, KWELI amelitupa nje jina "mungu" na kuchukua nafasi yake kama mbadala. Hivyo anayetaka watu wote waokolewe na kupata kujua yaliyo kweli katika 1Tim.2:4 si mungu, bali ni KWELI aliye mbadala wa mungu katika 1Yoh.4:6 na Ufu19:13.ukweli huu unathibitishwa na matendo ya mungu katika 2Kor.4:3-4 na 2Thes.2:10 Hata mwombwaji na mwombaji katika Yn.17:2-3 hawa wezi kuwa mungu na Yesu.

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.6B

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.6B. Kwa maneno mengine ni kwamba mtu ni nafsi ikaayo mwilini ikiwa imenyweshwa Roho wa KWELI kuwa Roho moja na kristo neno la kweli ilikuzalishwa lile tunda Gal.5:22-23. Na hivyo kuwa mshiriki timilifu wa uzima wa milele juu mbinguni. Dhidi yake ni kwamba mtu huwa nafsi iliyoungwa kuwa mwili mmoja na Roho ya upotevu (1Yoh.4:6), ambavyo ni Roho ya dunia ( 1kor.2:12) iliyo ya mungu wa dunia hii (2kor .4:3-4),ibilisi (Mt.13:39; Yn.8:44) ili hiyo nafsi ipate kutumikishwa yale matendo Gal.5:19-21, na kwa. matendo hayo nafsi husika ibaki umarehemuni milele.

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO6

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.6. Kwa kuenenda kwa jinsi ya kristo siyo tu kwamba tumefanikiwa kumjua muumba na Mkombozi wetu Hivyo,bali pia kwamba kwa kusimamia 1Yoh.4:6; 1Kor.2:12 na 1thes.5:23 Tumefanikiwa kumfahamu mtu kwamba ni nafsi akaaye mwilini akiwa ameungwa kuwa Roho moja na mume wetu Kristo (1kor.6:17; 2Kor.11:2) kwa kunyweshwa Roho wa kweli (1kor.12:13); au akiwa ameungwa kuwa mwili mmoja na kahaba malegioni au majini (Mk.5:9;Lk.8:30; 1Kor.6:15-16) Kwa njia ya Religion au Dini (2Thes.2:4).

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO5

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.5. Katika Yn.8:26 Kristo Kalitaja jina la Baba yake aliyempeleka, ambaye kwa kadiri ya Yn.14:17;15:26 na Yn16:13 Baba amemliki kwa jina hilo "KWELI" na kwa jina hilo amelitupa nje jina mungu katika 1Yn.4:6 na Ufu19:13. Na kwa ukweli huu usiopi ngika tunawqpata wale watatu waluoshuhudia mbinguni kuwa ni umoja timilifu wa nafsi jina kweli, Neno la kweli na roho wa kweli na Roho wa kweli. Neno "Kweli" jina (Noun),wala sifa (Adjective).

KUENENDA KWA JIN$I YA KRISTO4

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO.4. Hivyo yesu anayesemekana kwamba ni wa ukoo wa daudi huyo ni yesu hewa asiyekuwepo wala hawezi kuwapo milele yesu huyu ni bandia mwanasesere au sanamu iliyotengenezwa na kawaida za kwanza za dunia (Gal.4:3);ambao ni watu wa kuasi wapingamizi wajiinuao nafsi zao juu ya kila kiitwacho mungu au kuabudiwa (2thes.2: 3-4) tena ambao nitabaka la chini duniani (2kor.4:3-4) kinyume cha kristo aliye wa tabaka la juu mbinguni (Yn.8:23).hawa ni mashetani ambao kutokana na uwingi wao wamejitambulisha kuwa "LEGION"mt.5:9 na(lk.8:30);na ambao ni wauaji na waongo.(yn8:44)

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO 3

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO|||. Kwa kadiri ya mt.1:20-21 naLk1:35 kristo mwokozi hana baba hana mama hana wazazi (geneology) kwa mfano wa melkizedeki (Ebr.7:3). Kwamba yusufu na mariam ni baba na mama walezi wa kristo mwokozi wala siyo wazazi wake .

CORRECTION 2

SAHIHISHO. Ule ujumbe wetu "KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO||."ile sehemu iliyoanzia na "Hii ni kwa sababu yote yaliyo, baada ya neno "yaliyo" jazia neno "si kwa jinsi."

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO2

KUENENDA KWA JINSI YA KRISTO || .Lile Angalisho kol.2:8-9, liende pamoja na Gal.5:16-17;Yn.8:23;Ebr.12:2 na 2kor5:17,Hii ni kwa sababu yote yaliyoya kristo ,ni ya mashetani,(1tim4:1). KRISTO aliyeanzisha na kutimiza imani yetu hawezi kuenenda na mashetani (2kor.6:14-18).

UTARATIBU WA KUTUMIA TORATI YA MUSA HAUHITAJIKI TENA

Aya Kol.2:17 na Ebr.10:1. Huelezea kwamba Muumba na Mkombozi wetu alitumia utaratibu wa kivuli  katika torati ya Musa ,
Kwa kadiri ya Rum.10:4 na kol.2:13---15, lengo lilikuwa kuifuta na kuiondoa kabisa torati ya akina Mungu .Na kadiri ya 1kor.2:6--8, Hilo lilikuwa lifanyike bila ufahamu wa akina Mungu ili wajikaange kwa mafuta yao wenyewe.
Baada ya kulihitimisha na kulifanikisha 💯% lengo kusudiwa ,Muumba na Mkombozi wetu amejishuhudia mwenyewe Kama ilivyo katika 1Yoh .5:8 na kwa mujibu wa 1kor.2:13, ushuhuda ukafasiliwa kwamba Muumba na Mkombozi wetu ni ROHO (Yn 4:24) ALIYE. UMOJA WA  NAFSI TATU ; KWELI ( Yn.8:26). NENO LA KWELI(Ufu.19:12--13) na ROHO WA KWELI (1Yoh .4:6).
Hivyo ,katika ujumla wake Yeye ni KWELI,Aliye juu ya yote,Atendaye Kazi katika yote na Ndani ya yote(Efe.4:6)
Mkombozi wetu ni Neno la Kweli .na Muunganishi wao ni Roho wa Kweli,kwa kuwa kusudi limetimilika,Utaratibu wa kivuli katika torati ya Musa na majina yake "Mungu " na "YESU" hauhitajiki Tena ,
Kwa kuwa majina Haya ya Torati ya Musa .Huwapa fursa waasi kuniinua nafsi zao juu ya kila kiitwacho Mungu kusatumikisha watu kiibada Kinyume Cha Muumba na kuwafanya watu wasiikubali  Kweli  ili waokolewe (2Thes.2:3--4, 10.
2Tim.4:3--4,    2Kor4:3--4)  
Ni wakati Sasa watu wayahesabu majina Haya Kama Mavi kwa Usalama wao wa milele uliyomo katika Kristo Neno la kweli.  ( Filp.3:8)
Na sasa tuangazwe na Mwanga wa Kristo Neno la Kweli milele.Na sio baada ya kifo Cha mwili.
Baarikiwa sana

MBINGUNi KWAINGILIKA SASA HIVI A

MBINGUNI KWAINGILIKA SASA HIVI A. Kwa kusimamia 1 kor.2:13; tumeisafiri 1 yoh.5:8 kwa kuachana kabisa na maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyasafiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni hata tukaufikia ule ukweli tulioufikia, kwamba Muumba na mkombozi wetu ni umoja wa Nafsi "KWELI, NENO LA KWELI NA ROHO WA KWELI" Na kwa kuzingatia ukweli wa Efe.1:22-23,ile aya ya 23 hutuhitimishia ukweli kwamba hilo kanisa ndio mwili wake, ambao ni ukamilifu wake yeye anayekamilisha vyote katika vyote. "The Bible" huongezea kusema " maana katika mwili huo hukaa kipimo chake kamili, Yeye afanyaye kila kitu kuwa kamili, na ambavyo huujaza ule uyeye wake mwenyewe kila kitu,kila mahali" Hii imetufikisha kwenye ukweli kwamba Muumba na mkombozi wetu ni kanisa katoliki la nafsi kweli, neno la kweli na Roho wa kweli.

NENO "KWELI" KAMA JINA WALA SI SIFA B

NENO "KWELI" KAMA JINA WALA SI "SIFA".B Ebr.10:14 hutuambia kwamba waliotakaswa hivyo hukamilishwa kwa kunyweshwa Roho wa kweli aliyemo ndani ya Neno la kweli (1kor.12:13;1Yoh.5:9) anayeaajumuisha ( include) katika kanisa katoliki la nafsi kweli neno la kweli na Roho wa kweli sawasawa na Efe.2:18-22. Happy ndipo Lile ombi tuliloagizww katika Mt.6:9-10 litakapokuwa Limetimizwa na ufalme wake kutimilika sawasawa na 2Kor.6:16-18 na kukomesha zile ndoto za yule mwongo ambazo na kutumia video yake. Kwa hili siachi kusisitiza Lile jukumu linalotukabili wewe na Mimi. Nalo si jingine bali ni hali: "Nyuma geuka!! Kwa mwendo wa haraka mbele tembea!!! Hongera.Na ubarikiwe sana kwa kufanikisha ufalme wa muumba na mwokozi wetu duniani, kanisa katoliki la nafsi kweli neno la kweli na Roho wa kweli, sasa na milele. Amina!!